Mabadiliko ya tabianchi na wakulima wadogowadogo Tanzania.

Wakulima wadogowadogo nchini Tanzania wamekuwa wakiathiriwa na changamoto za mabadiliko ya tabianchi katika shughuli zao za kilimo na kuwapelekea kuzalisha mazao kidogo bila kupata faida. Zipo njia mbalimbali za kilimo ambazo zitawawezesha wakulima kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, na kuwawezesha kuongeza uzalishaji na kujiongezea kipato bila kuongeza gesi joto katika tabaka la hewa la nchi.

Kwa maelezo zaidi, sikiliza mahojiano hapo chini.